Huu ndio mchezo marufu zaidi katika michezo ya kubahatisha. Mchezaji wa kubashiri juu ya matokeo yanayo wezekana ya mechi ya mpira wa miguu akijaribu kutabiri ikiwa timu ya nyumbani itashinda au ya ugenini itashinda
Wakati wakucheza Handicap mchezaji pia ana bashiri matokeo ya uwezekano wa mpira wa miguu,tofauti nikwamba katika hándicap tuna ongeza goli moja kwa timu moja(Kwa kawaida timu dhaifu)kabla ya mpira kuanza.hii imefanywa ili kujaribu kiwango cha kucheza kati ya kushindana chini ya pendwa.
Kwa mfano: Manchester City Vs Fulham (+1)
Hapa hándicap inampa goli moja fulhamu hii inamanisha kuwa fulham ni dhaifu anapewa goli moja la mkononi tangu mwanzo.
From July 1st 2022 comes into force the new tax on winnings for sports betting games. The new tax has been directed by the Gaming Board of Tanzania. This implies that players will be deducted a 10% winning tax on the possible wining less the amount wagered.